Malaika Lyrics
by Miriam Makeba
Malaika Song Lyrics
Malaika by Miriam Makeba
Malaika, nakupenda Malaika
Ningekuoa mali we, ningekuoa dada
Nashindwa na mali sina we, Ningekuoa Malaika
Nashindwa na mali sina we, Ningekuoa Malaika
Pesa zasumbua roho yangu
Pesa zasumbua roho yangu
Nami nifanyeje, kijana mwenzio
Nashindwa na mali sina we Ningekuoa Malaika
Nashindwa na mali sina we Ningekuoa Malaika
Kidege, hukuwaza kidege
Kidege, hukuwaza kidege
Ningekuoa mali we, ningekuoa dada
Nashindwa na mali sina, we Ningekuoa Malaika
Nashindwa na mali sina, we Ningekuoa Malaika
Malaika, nakupenda Malaika
Malaika, nakupenda Malaika
Ningekuoa mali we, ngekuoa dada
Nashindwa na mali sina we, Ningekuoa Malaika
Nashindwa na mali sina we, Ningekuoa Malaika
Popular Miriam Makeba Songs
A-Z Lyrics Universe
Lyrics / song texts are property and copyright of their owners and provided for educational purposes only. Translation: letra, paroles, liedtexte,
songtext, testi, letras, текст песни, 歌词, كلمات الأغاني, गाने के बोल, mga titik ng kanta.